I made this widget at MyFlashFetish.com.

Friday, April 9, 2010

NI MUHIM WADAU

Habari yako ndugu unaetembelea Blog gii.. Blog hii leo ni siku ya pili tokae kwenda hewani. Jana ndio nimeanza kuitengeneza . Nataka mchango wako wa mawazo nini na nini unataka kukisoma kwenye blog hii. Sisi tuna Radio ambayo ndio ipo Zanzibar Inaitwa Zenjfm 96.8 fm. Pia tuna gazeti la Nipe Habari. Kwa maana hiyo Tuna habari nyingi sana . Kijamii kisiasa michezo. burudani habari za ndanii na mambo mengi sana . Sasa sisi tanataka kujua kutoka kwako Unataka kusoma nini na kuona nini kwenye blog hii . Habari gani zaid zichukue nafasi . Naomba tumasiliane kwa djside_dj@yahoo.com Au andika kwenye comment sehemu hii. Ahsante mdau. Tegemea kupata habari zenye uhakika

No comments:

Post a Comment