I made this widget at MyFlashFetish.com.

Friday, April 9, 2010

KARUME KUELEKEA UNGEREZA LEO


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume leo anatarajiwa kuondoka nchini na kuelekea Uingereza kwa ziara ya serikali.
Katika ziara hiyo, Dr. Karume anafuatana na mkewe Mama Shadya Karume pamoja na maafisa wengine wa serikali.
Taarifa kutoka ikulu ya rais haikutaja muda wa ziara hiyo, lakini imesema Dr. Karume ataagwa leo na viongozi wa serikali katika uwanja wa ndege wa Zanzibar kuelekea nchini Uingereza.

No comments:

Post a Comment