I made this widget at MyFlashFetish.com.

Tuesday, April 27, 2010

CUF NA CHADEMA VIMONEKANA NDIO VYAMA PEKEE VYENYE KULETA UPINZANI NCHINI.


Matokeo ya utafiti yaliofanywa na mpango wa elimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam REDT juu ya maoni ya wananchi katika uchaguzi mkuu ujao yameonesha iwapo uchaguzi huo ungefanyika sasa chama cha Mapinduzi CCM kingeibuka na ushindi katika urais, ubunge na madiwani.
Taarifa ya utatifi huo uliofanyika mwezi uliopita uliotolewa leo mjini Dar es Salaam kwa wandishi wa habari na mtafiti mkuu wa REDT Dr. Benerdeta.
Amesema asilimia 60 ya wa bunge wa sasa wa majimbo wangalipoteza viti vyao kwa kutowajibika ipasanyo katika majimbo yao
Aidha Dr. Benerdeta amesema vyama vya
Utafiti huo ulizihusihsa wilaya 52 nchini, huku asilimia 60 ya wananchi waliohojiwa ni wakaazi wa vijini na asilimia 40 ni wale mjini.

No comments:

Post a Comment